Posted on: March 26th, 2025
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Muricado Fruit Supplies, Josiah Mrimi, ameishukuru Serikali kwa kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji mkoani Njombe, hatua inayowezesha sekta ya viwanda kuendelea kukua na kul...
Posted on: March 26th, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka, amesema kuwa uwekezaji katika viwanda vya kuongeza thamani ya mazao, hususan parachichi, ni hatua muhimu katika kukuza uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla.
...
Posted on: March 26th, 2025
NJOMBE – Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, tarehe 24 Machi,2025 alifanya ziara mkoani Njombe ambapo, aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anth...