• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

Crop production

UTANGULIZI

 

Mkoa wa Njombe una hali nzuri ya hewa ambayo iko katika Kanda kuu tatu ambazo zinaweza kustawisha mazao mbalimbali kama ifuatavyo:-

  1. Ukanda wa chini: Ukanda huu hulimwa mazao ya Mhogo, Mpunga, Karanga, viazi vitamu, korosho, Mtama, mbogamboga, matunda ya ukanda wa joto na migomba.
  2. Ukanda wa kati: Mazao yanayostawi katika Ukanda wa Kati ni Mahindi, Maua, Maharage, Alizeti, Njegere, Migomba, Ngano, Viazi mviringo, Mbogamboga, Chai, Kahawa, Pareto na Matunda.
  3. Ukanda wa Juu: Ukanda huu hulima mazao makuu ya Chakula ya Mahindi, Maharage, Viazi mviringo, ngano, njegere, alizeti, mbogamboga na matunda ya ukanda wa baridi, kwa Mazao ya biashara ni Chai, Kahawa, Pareto na Ngano.

Mkoa wa Njombe una ukubwa eneo la kilomita za mraba 24,994. Eneo linalofaa kwa kilimo ni hekta. 1,090,000 na kati ya hiyo eneo lililolimwa kwa msimu 2017/18  ni hekta 374,637 sawa asilimia 34% ya eneo linalofaa kwa kilimo.

 

MAZAO YA CHAKULA

Mkoa wa Njombe una mazao makuu wawili (2) kwa ajili ya chakula yaani mahindi na viazi mviringo ambapo wakati mwingine mazao hayo hutumika kwa biashara pia, hasa yanapozalishwa kwa kiwango cha ziada.  Mazao haya huzalishwa katika kila Halmashauri ndani ya Mkoa wa njombe, ambapo tangu mwaka 2013 – 2019 uzalishaji wa mahindi ni kati ya 38% - 42% na Viazi mviringo ni kati ya 40% - 47% ya mazao ya chakula. Mazao ya chakula yanayozalishwa katika Mkoa yapo katika makundi matatu yaani mazao ya nafaka (Mahindi, mpunga, mtama, ulezi, uwele na ngano), mazao ya mizizi(Viazi mviringo, viazi vitamu na mihogo) na mazao ya jamii ya mikunde(maharage, kunde, njegere, njugu na maharage ya soya).

MAZAO YA BIASHARA.

Mazao ya biashara yanayozalishwa katika mkoa wa Njombe ni Chai, Alizeti, Kahawa, karanga, Korosho, Pareto na matunda hasa parachichi. Mazao haya hustawi vizuri kutokana na hali ya hewa ya maeneo husika kama ilivyooneshwa katika jedwali Na. 3

Jedwali Na. 3 Uzalishaji wa mazao makuu ya biashara kwa kila Halmashauri

Halmashauri
Aina ya zao
Njombe TC
Parachichi na Chai
Njombe DC
Chai, Kahawa, Parachichi na alizeti
Ludewa DC
Kahawa, Alizeti, korosho, Karanga, Pareto
Wanging’ombe DC
Alizeti, Parachichi, karanga, Kahawa, Pareto
Makambako TC
Alizeti, Parachichi
Makete DC
Matofaa(Apples), Parachichi, Karanga, Pareto


FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA UZALISHAJI WA MAZAO.

1. Uwekezaji katika uzalishaji wa mbegu bora za viazi mviringo. 

2. Uwekezaji kwenye miundombinu ya uchunguzi wa afya udongo.

3. Uwekezaji katika ujenzi wa maghala na usambazaji wa pembejeo za kilimo hasa maeneo ya vijijini.

4. Uwekezaji katika usindikaji wa mazao ya mahindi kwa ajili ya unga na alizeti kwa ajili ya mafuta.

5. Uwekezaji katika uzalishaji wa zao la Parachichi.

Kusoma zaidi bofya hapa  Fursa zlizopo kwenye uzalishaji wa mazao.pdf



Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • DR. MICHAEL HAULE WA NM-AIST AMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA NJOMBE.

    June 25, 2025
  • MWEKEZAJI NEIL GOODTILLERE WA BROWNS PLANTATION AKUTANA NA MKUU WA MKOA WA NJOMBE.

    June 25, 2025
  • MAFUNZO MAALUMU KWA MADEREVA WA TAASISI ZA SERIKALI YAENDELEA MKOANI NJOMBE.

    June 14, 2025
  • MKUU WA MKOA WA NJOMBE MHE. ANTHONY MTAKA ASHIRIKI IBADA YA KUAGA MWILI WA MZEE MONGELLA JIJINI DAR ES SALAAM.

    June 04, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.