• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

MKUU WA MKOA WA NJOMBE AKUTANA NA TANESCO NA WAZALISHAJI WADOGO MKOANI NJOMBE

Posted on: September 26th, 2025


Njombe, Septemba 26, 2025 – Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka, amekutana na kufanya kikao na timu kutoka makao makuu ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) pamoja na wazalishaji wadogo wa umeme kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa huo, kwa lengo la kujadili uwezekano wa kuanzishwa kwa gridi ya umeme ya Mkoa wa Njombe.

Kikao hicho kimefanyika ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali ya Mkoa wa Njombe katika kusukuma mbele maendeleo ya nishati, kuongeza upatikanaji wa umeme wa uhakika, na kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii katika maeneo ya vijijini na mijini.

Mhe. Mtaka aliipongeza TANESCO kwa kujitokeza na kuonesha nia ya kushirikiana na wadau wa ndani ya mkoa, hasa wazalishaji wadogo wa umeme, na akasisitiza kuwa serikali ya mkoa ipo tayari kutoa ushirikiano wa karibu kuhakikisha azma hiyo inatimia.

“Nawashukuru sana kwa kuitikia mwaliko huu, Hii ni hatua muhimu kuelekea kuimarisha miundombinu ya nishati mkoani Njombe. Serikali ya mkoa itatoa ushirikiano wote unaohitajika ili kuona gridi ya umeme ya mkoa inakuwa kweli,” alisema Mhe. Mtaka.

Kwa upande wake, Meneja wa TANESCO Mkoa wa Njombe aliwahakikishia wazalishaji hao kuwa ofisi yake iko wazi muda wowote kwa ajili ya kupokea hoja, ushauri au kujadili masuala ya maendeleo ya sekta ya nishati katika mkoa huo.

“Lengo letu ni kuona Njombe inakuwa miongoni mwa mikoa yenye mifumo madhubuti ya usambazaji wa umeme. Karibuni ofisini wakati wowote – tuko tayari kufanya kazi kwa karibu nanyi,” alisema Meneja huyo.

Uanzishwaji wa gridi ya umeme ya mkoa unalenga kuongeza ufanisi wa usambazaji wa nishati, kupunguza utegemezi wa vyanzo vya mbali vya umeme, na kutoa fursa kwa wazalishaji wadogo kushiriki kikamilifu katika mnyororo wa thamani wa nishati safi na endelevu

Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • MKUU WA MKOA WA NJOMBE AKUTANA NA TANESCO NA WAZALISHAJI WADOGO MKOANI NJOMBE

    September 26, 2025
  • MKUU WA MKOA WA NJOMBE ATOA WITO KUHUSU USIMAMIZI WA ZAO LA PARACHICHI

    September 25, 2025
  • WANANCHI NJOMBE KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA36

    September 21, 2025
  • Mh.ANTHONY MTAKA AKUTANA NA VIONGOZI WA DL GROUP NA WAFANYABIASHARA WA MKOA WA NJOMBE

    September 18, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.