• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

WIZARA YA KILIMO YATOA MBEGU ZA NGANO KWA WAKULIMA WA MAKETE TANI 1000

Posted on: January 11th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mh Anthony Mtaka ametoa rai kwa wananchi wa Wilaya ya Makete Mkoani humo kuchangamkia fursa ya kilimo cha zao la Pareto ili kiweze kuwakwamua kiuchumi.

Wito huo ulitolewa katika mkutano wa wadau wa Pareto na Mdau Mkuu Kampuni ya Pareto Tanzania (PCT) uliyofanyika wilayani hapa na kuwajumuisha pia wakulima wadogo wanaojishughulisha na kilimo hicho ambao ni wanufaika wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).

Mtaka alisema anayo dhamira ya kuhakikisha wanafufua zao la Pareto ni kuwaunganisha wakulima na sambamba na kuona kwamba wanaondokana na umasikini.

Aidha, Mtaka alisema katika Wilaya ya Makete yenye kata 23, jumla ya kata 21 zenye ukubwa wa hekta 2,800 zinafaa kwa kilimo cha Pareto.

“Mimi nataka wakulima watajirike, Makete inawanufaika wa Tasaf wapatao 4,569 kwa mwaka wanapata sh. 144,000 mimi moyoni mwangu hii haikubaliki, tuunganishe kati ya kaya na kaya katika uzalishaji wa Pareto ili muondokane na umasikini,” alisema Mtaka.

Mwakilishi wa kampuni ya PCT kutoka Halmashauri ya Mji wa Mafinga mkoani Iringa, Gerald Joseph alisema kuwa malengo yao ni kufikia tani 990 kwa sababu hapo awali uzalishaji wa Pareto ulikuwa unasuasua.

“Mkulima mwenye eka moja tukichukuwa wastani wa uzalishaji kwa kilo 250 za maua makavu na ukizidisha kwa 3, 500 kwa eka akifuata zile kanuni na taratibu bora za kilimo atapata kwa mwaka mmoja kipato cha sh. 8,75,000,” alisema Joseph.

Mkuu wa Wilaya ya Makete,  Mh.Juma Sweda alisema zao la Pareto katika wilaya hiyo lilianza mnamo mwaka 1931 na kuzalishwa ambapo miaka ya 1990 lilianza kuyumba na kudorora.

Nao baadhi ya wakulima akiwemo, Adrian Sanga alisema pamoja na kuhimiza kufufua zao hilo ni vema pia serikali ikaweka mpango wa kujenga kiwanda wilayani humo.

Hata hivyo katika mkutano huo Kampuni ya Pareto (PCT) iligawa miche kwa kaya zaidi ya 267 za wanufaika wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) na kufanya zao hilo kuwa ajenda ya Mkoa wa Njombe.

Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA SHANGWE.

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA MTAKA AWAPONGEZA NA KUWAPA HAMASA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA MKOANI NJOMBE.

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF AMEANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI NJOMBE.

    April 28, 2025
  • HERI YA SIKU YA MUUNGANO.

    April 26, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.