• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

WASABATHO WAADHIMISHA SHEREHE ZA MAKAMBI NJOMBE

Posted on: September 22nd, 2023

SERIKALI mkoani Njombe imesema haitawavumilia hata kidogo na badala yake itawachukulia hatua kali za kisheria wafanyabiashara wote watakaobainika kuwauzia mbolea feki kwa wakulima.

Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa mkoa wa Njombe Mh. Antony Mtaka,wakati akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadvetista Wasabato ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya sikukuu ya Makambi yanayofanyika viwanja vya sabasaba mjini hapa.

"Muwashauri wafanyabiashara wa mbolea nyinyi wazawa wa Njombe wasiingie kwenye kuwauzia mbolea feki,serikali inamkono mrefu,jicho la serikali liko kila mahala tusije tukalaumiana kwa mtu aliyeuza mbolea feki hatutakua na msamaha wa aina yeyote"alisema Mtaka.

Mtaka alibainisha kuwa"Tumeambiwa na wenzetu wa hali ya hewa mwezi wa kumi mvua zitaanza mvua kubwa,niwaombe wananchi ambao wanashughulika na mambo ya kilimo waandae mashamba,tutaleta mbolea ya ruzuku mapema,tutaleta mbegu kwenye maduka mapema,nunua mbolea yako vizuri"alisema.

Mtaka aliwataka wananchi mkoani humo kutafuta njia bora ya kutatua migogoro na sio kuuwana kwa sababu visasi kwenye familia na biashara ni sababu kubwa zinazochangia kuwepo kwa matukio hayo.

"Niwaombe tujiepushe na kulipizana visasi,kama mashamba ya miti umeambiwa kwamba baba yako alipofariki mama yako aliachiwa miti akadhulumiwa na mashemeji zake tafuta namna nzuri ya kupata haki ya miti ya baba yako,usiende kuichoma wala usiende kukodisha watu kwa ajili ya kwenda kumuua baba mdogo wala mjomba"alisema Mtaka.

Alitoa rai kwa wafanyabiashara wa sokoni hapo kujiepusha na mikopo umiza na badala yake wafanye biashara kwa kuzingatia misingi mizuri ili waweze kukuza biashara zao

Hata hivyo aliwataka wanafunzi wanaojiandaa na mitihani kidato cha pili na cha nne kwamba ili wafaulu wanapaswa kusoma kwa bidiii na si vyenginevyo.

"Hakuna muujiza,kama kuna mapepo ya kukemea,kemea mapepo ya kuwa mjinga wa kusikiliza maubili ambayo hayana kichwa wala miguu,kama kuna mapepo ya kukemea tukemee mapepo ya uvivu ili tusome kwa bidii,tufanye kazi kwa bidii"alisema Mtaka.

Awali katibu mkuu NGDF ambaye pia ni mnenaji mkuu wa Makambi,mchungaji Richard Mashauri kutoka wilayani Kahama mkoani Shinyanga alisema waumini wanapaswa kupinga mauaji ya vikongwe,watoto,ushonga na utajiri kwa njia ya miujiza.

"Hakuna utajiri kwenye biblia unaosema paka mafuta ya upako,hakuna ndani ya biblia unaosema ua kikongwe utajirike haupo,utajiri unatokea kwa nguvu binafsi za mtu kwa kufanya kazi"alisema Mashauri.

Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • PROF. MUKANDALA AONGOZA VIONGOZI KUSHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA UJENZI WA KAMPASI YA UDOM MKOANI NJOMBE.

    May 17, 2025
  • MPANGO WA NJOMBE KUPUNGUZA UDUMAVU WAZINDULIWA RASMI.

    May 17, 2025
  • KAMATI YA USALAMA YA MKOA WA NJOMBE YAMPA POLE KAMISHNA MWANDAMIZI WA UHAMIAJI FELISTA SANGA KUFUATIA MSIBA WA MUMEWE.

    May 17, 2025
  • MKUU WA MKOA WA NJOMBE MHE. ANTHONY MTAKA AKUTANA NA MKURUGENZI WA KAMPUNI YA KANJI LALJI, AMKARIBISHA KUWEKEZA MKOANI NJOMBE KATIKA KILIMO CHA KAHAWA.

    May 17, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.