• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

MWENGE WA UHURU WAKABIDHIWA MKOANI IRINGA

Posted on: May 1st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Anthony Mtaka amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi cha Shilingi Bilioni Kumi na Tano kwa ajili ya ulipaji wa fidia kwa watu wanaopisha eneo la mradi wa makaa ya mawe na chuma wilayani Ludewa ili kuruhusu mradi huo kuanza.Aidha amewaasa wakimbiza Mwenge kuwa waadilifu na wazalendo katika jukumu hili la kitaifa,kwan hata yeye alikimbiza Mwenge miaka ya nyuma

Mtaka ameyasema hayo Wilayani Mufindi alipokuwa akikabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Mkoa wa Iringa mara baada ya kumaliza kukimbizwa katika halmashauri Sita za mkoa wa Njombe. Aidha Mh.Mtaka ametumia nafasi hiyo kutangaza fursa za miradi ya uwekezaji mikubwa ya kiuchumi ukiwemo mradi wa chuma na makaa ya mawe pamoja na kilimo cha parachichi Ikang’asi ekari Elfu Themanini na Saba wilayani Njombe.

Katika mbio za Mwenge wa Uhuru Mwaka 2023 mkoani Njombe jumla ya Miti Kumi na Moja Elfu na Mia Nane imepandwa ikiwemo miti ya biashara, miti ya matunda na miti ya uhifadhi wa vyanzo vya maji. Kwa upande wake Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Abdallah Shaibu Kaim licha ya kupongeza jitihada za utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji mkoani Njombe lakini pia ameendelea kusisitiza uhifadhi wa vyanzo hivyo kwa kuepuka uvamizi na uharibifu.

Kwa upande wake Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Abdallah Shaibu Kaim licha ya kupongeza jitihada za utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji mkoani Njombe lakini pia ameendelea kusisitiza uhifadhi wa vyanzo hivyo kwa kuepuka uvamizi na uharibifu. 

Mwenge wa Uhuru ukiwa mkoani Njombe umekimbizwa kwa umbali wa kilomita Mia Tano Kumi na Saba katika wilaya Nne na kufikia miradi Arobaini na Tano yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni Tisa.

Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 MKOA WA NJOMBE December 14, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • View All

Latest News

  • MRADI WA BOOST,BARRICK KUJENGA MADARASA YA SHULE ZA MSINGI SEKONDARI

    May 08, 2023
  • UWT MKOA WA NJOMBE YAZINDUA KIWANDA CHA USINDIKAJI

    May 08, 2023
  • M- mama YAPIGA HODI MKOANI NJOMBE

    May 06, 2023
  • WIKI YA CHANJO YAZINDULIWA MKOANI NJOMBE

    May 02, 2023
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Njombe Nearby Ruhuji River

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 0262782912/13

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.