• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

MAKETE YAFIKIA LENGO LA UPANDAJI WA MITI

Posted on: April 27th, 2023

Wakati Mbio za Mwenge zikiendelea kukimbizwa wilayani Makete ujumbe wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 ukisema Tunza Mazingira Okoa Vyanzo vya Maji kwa ustawi wa Viumbe hai kwa Uchumi wa Taifa,imedhihirika kwa  halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa kuutekeleza ujumbe huo kwa vitendo kwa kupanda miti na kulinda vyanzo vya maji.Katika kufanikisha jitihada za uhifadhi na utunzaji wa mazingira halmashauri ya Wilaya ya makete imepanda miti Milioni Moja laki tisa themanini na mbili mia nne Themanini na moja sawa na asilimia mia moja na ishirini na tisa ya lengo la mwaka.

       Taarifa ya idara ya mazingira imesema miti zaidi ya Milioni moja na laki tisa imepandwa hadi kufikia mwezi huu.Taarifa hiyo inathibitishwa na shughuli za upandaji miti katika shule za sekondari za Mang’oto na Iwawa,Hospitali ya Wilaya ya Makete na eneo la chanzo cha maji cha ng’usi.Ustawi wa chanzo hicho unawapatia faida wakazi wa Kijiji cha Lupalilo kwa kupata mradi wa maji endelevu

        Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Abdallah Shaibu Kaim  amesema upandaji miti kwa wingi  ni mfano wa kuigwa sababu ni sehemu ya utamaduni pia ni biashara, naye Afisa Misitu wilaya ya Makete Naphely Sanga amesema mashamba darasa yameandaliwa kwa ajili ya kujifunza, ili kuepukana na  uvamizi wa vyanzo vya maji unatishia uhifadhi. Aidha, katika kipindi cha tarehe 24 Mwezi wa nne 2023 hadi taehe 27 mwezi wa Tatu Wilaya imepanda jumla yamiche 2030 kwenye taasisi za elimu, afya na vyanzo vya maji katika kutunza vyanzo vya maji. Wananchi na wanafunzi wamesema kampeni hiyo inatoa hamasa kwao, wakiungwa mkono na Mbunge wa Jimbo la Makete Festo Sanga

       Akisoma taarifa hiyo kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Abdallah Shaibu Kaim kwa niaba ya Afisa Mazingira Afisa Mtendaji Mamlaka ya Mji Mdogo wa Iwawa Wilayani Makete amesema miti imepandwa na watu binafsi wamepanda miti Milioni Moja Laki Saba na Sita, taasisi miti Laki Moja Mia Moja Kumi na Moja na Themanini na Sita na vijiji miti Elfu Arobaini Mia Tatu Kumi na Nane, mashirika yasiyo ya kiserikali miti Mia Sita Tisini na Tano, madhehebu ya dini elfu Sitini na Tano na Thelathini na Tatu. Jumla ya miradi yenye thamani ya Bilioni moja imeweza kuzinduliwa na mbio za mwenge mwaka 2023

Jumla ya miradi yenye thamani ya Bilioni moja imeweza kuzinduliwa na mbio za mwenge mwaka 2023

Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA SHANGWE.

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA MTAKA AWAPONGEZA NA KUWAPA HAMASA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA MKOANI NJOMBE.

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF AMEANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI NJOMBE.

    April 28, 2025
  • HERI YA SIKU YA MUUNGANO.

    April 26, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.