• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

CSSC Yatambulisha Mradi wa Global Fund kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe.

Posted on: January 14th, 2025

Njombe, 14 Januari 2025 - Christian Social Services Commission (CSSC), taasisi ya kiekumene iliyoanzishwa mwaka 1992 na Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) pamoja na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), imetembelea ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe kwa lengo la kutambulisha mradi wa Global Fund.

Mradi huo unatekelezwa chini ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Afya, ukilenga afua za vijana, hususan wasichana balehe na wanawake vijana (AGYW), ili kuwasaidia kujikwamua kiuchumi na kujikinga dhidi ya maambukizi ya VVU na UKIMWI. Shirika la TAYOA limepewa jukumu la kutekeleza mradi huo kwa kipindi cha mpito kuanzia Desemba 2024 hadi Machi 2025.

Watekelezaji  wa Mradi huo  ukiongozwa na Meneja wa Kanda ya Kusini, Fr. Manfred Mjengwa, walipokelewa na Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe, Mhandisi Zakalia Mwita. Katika kikao hicho, viongozi wa CSSC walieleza dhamira yao ya kushirikiana na serikali katika kuboresha huduma za afya na ustawi wa jamii kupitia mradi huu.

Akizungumza katika kikao  hicho, Mhandisi Mwita alisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali kama CSSC katika kuboresha hali ya maisha ya wananchi. Alibainisha kuwa mradi huu ni hatua muhimu katika kuongeza fursa za kiuchumi kwa vijana, kuboresha huduma za kijamii, na kupunguza maambukizi ya VVU na UKIMWI mkoani Njombe.

Kwa upande wa, CSSC waliahidi kuhakikisha utekelezaji wa mradi huu unakuwa endelevu kwa kushirikiana kwa karibu na viongozi wa mkoa, wa wilaya, na wananchi wa Njombe. Aidha, walisisitiza kuwa mradi huu unalenga kuleta maendeleo kwa jamii kwa kuhakikisha huduma bora za afya na ustawi wa kijamii zinawafikia walengwa.

Mradi wa Global Fund unatarajiwa kuwa chachu ya maendeleo kwa vijana wa Njombe, huku ukiboresha ustawi wa kijamii na kupunguza changamoto za afya zinazowakabili wananchi.

Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA SHANGWE.

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA MTAKA AWAPONGEZA NA KUWAPA HAMASA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA MKOANI NJOMBE.

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF AMEANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI NJOMBE.

    April 28, 2025
  • HERI YA SIKU YA MUUNGANO.

    April 26, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.