• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

MKUU WA MKOA AHIMIZI UBUNIFU MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: June 15th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka amewataka Wakurugenzi na Wakuu wa idara Mkoani Njombe kuwa wabunifu kwa ajili ya kuwaletea wananchi Maendeleo.

Amesema hayo akiwa kwenye Baraza la maalumu la Madiwani tarehe 15 Julai 2023 Halmashauri ya Wilaya ya Makete wakati wa kujadili hoja za Mkaguzi zilizoibuliwa kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Mhe. Mtaka amesema ubunifu wa miradi ya Maendeleo ndio chachu ya ukuaji wa uchumi kwa Maendeleo ya Taifa, Wilaya, Kata, Vijiji na hatimaye mwananchi mmoja mmoja jambo ambalo litaifanya Serikali kuonekana inatekeleza wajibu wake wa kuwaletea wananchi maendeleo.

“Dhamira ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ya kuwaletea wananchi wake Maendeleo inawapaswa Wakurugenzi wa Halmashauri na Wakuu wa Idara kama wasaidizi wake wamsaidie na wasilaze akili lazima tuwe wabunifu”

“Kuwaza maendeleo sio dhambi bali lazima uwezo wetu wa kufikiri uongezeke, lakini nampongezaMkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Makete William Makufwe kwa ubunifu ambao anaufanya Makete kwa kuibua miradi ambayo inaweza kuwaingizia kipato kikubwa na kuongeza pato la Halmashauri”.

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Makete William Makufwe amesema Halmashauri inamikakati mbalimbali ya kuibua miradi mipya ambapo kwa sasa imeibua mradi mkubwa wa Stendi ya Mabasi Kimani iliyopo Kata ya Mfumbi.

Makufwe ameongeza kuwa Halmashauri inataka kuwa na miradi yenye tija na kuongeza mapato badala ya hali ilivyo sasa kutegemea mapato kutoka kwenye vyanzo vilivyozoeleka vya Zao la Viazi na Mbao.

Jacrene Mrosso Afisa Maendeleo Halmashauri ya Wilaya ya Makete amesema kupitia mikopo ya 10% ambayo inatolewa na Halmashauri, wamekopesha fedha kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu ambao wamekuwa wakijishughulisha na Kilimo cha ngano, Viazi, Ufugaji, Ujasiriamali na Bodaboda ili kuwakwamua wananchi kiuchumi.

Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA SHANGWE.

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA MTAKA AWAPONGEZA NA KUWAPA HAMASA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA MKOANI NJOMBE.

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF AMEANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI NJOMBE.

    April 28, 2025
  • HERI YA SIKU YA MUUNGANO.

    April 26, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.