• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

MKOA WA NJOMBE WAENDELEA KUWA KUMI BORA MITIHANI KITAIFA,KUFUATIA KIKAO CHA TATHIMINI YA ELIMU.

Posted on: July 29th, 2019

MKUU wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameliomba baraza la mitihani nchini kuwapa mitihani ya kipekee inayoendana na lugha za alama wanafunzi wenye uhitaji maalumu ili kuwaongezea ufaulu.

Ombi hilo limekuja mara baada ya kuibuka hoja ya shule ya sekondari viziwi kushika nafasi ya mwisho mara mbili mfufulizo sababu ikitajwa ni lugha ya kufundishia na lugha ya alama ambayo aina mfanano kama Kiswahili na kingereza,

Akizungumza katika kikao cha tasmini ya elimu mkoa wa Njombe mkuu wa wilaya ya Njombe kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Njombe  Christopher Ole Sendeka alisema wanafunzi haowanapata matokeo mabaya kwa sababu  kulinga kwa sababu wanashindana na wanafunzi ambao sio wenzao.

‘’Hili ni tatizo haiwezekana watoto wenye mahitaji maalumu kuwapa mitihani sawa na hawa wengine sio sawa..lugha ya kufundishia na lugha ya alama ambayo aina mfanano kama Kiswahili na kingereza’’alisema Ruth.

Mkuu wa wilaya huyo aliongeza kuwa kuna haja ya kuangalia swala hilo upya’’hili linatakiwa kufuatiliwa ili kuwapa wanafunzi hawa nafasi ya kipekee kwa ndio sababu inashusha nafasi ya kimkoa kwa kuwa wanapata ufaulu wa chini mno na wa mwisho kimkoa wamwisho kitaifa na si ajabu wakawa wakwanza kitaifa kwa nafasi yao lakini wanaonekana wa mwisho kitaifa kwa sababu wamechanganywa na wale ambao si washindani wenzao’’alisema Ruth.

Pia mkuu wa wilaya huyo alizungumzia adhabu ya viboko mashuleni kuwa iangaliwe na izingatie sheria na taratibu zilizopo ili isiweze kumuathiri mwanafunzi kwa kumpa kilema cha maisha.

‘’Adhabu ya viboko ni tatizo walimu wanachapa sana..niwaagize maafisa elimu nendeni kwa kustukiza mashuleni walimu wanachapa sana wanafunzi wengine wanawasababishia hadi vilema vya maisha hapana hii aifai’’alisema Ruth.

Hata hivyo afisa elimu mkoa wa Njombe Gifti Kyando alisema katika kikao cha tathimini elimu taifa swala la kulingana kwa mitihani kwa wenye mahitaji maalumu na wanafunzi wa kawaida lilizua mjadalaa katika kikao cha taifa na kwamba serikali imeahidi kulishughulikia na hivyo kuna hatua tayari zinafanyika.

‘’Mh mkuu wa wilaya hiki unachozungumza kuhusu shule za mahitaji maalumu pia kilizua mjadala taifa na serikali imehaidi kulifanyia kazi ili hawa wenye mahitaji maalumu waweze kufanya mitihani yao ambayo itakuwa ya kipekee kulingana na hali zao’’alisema



Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA SHANGWE.

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA MTAKA AWAPONGEZA NA KUWAPA HAMASA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA MKOANI NJOMBE.

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF AMEANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI NJOMBE.

    April 28, 2025
  • HERI YA SIKU YA MUUNGANO.

    April 26, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.