• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

M- mama YAPIGA HODI MKOANI NJOMBE

Posted on: May 6th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Wanging’ombe Claudia Kitta akimuakilisha Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh.Antony Mtaka ameongoza kikao cha utambulisho wa mfumo M mama unaolenga kuimarisha huduma za usafiri wa dharura kwa kina mama wajawazito na Watoto wachanga katika Halmashauri zote za mkoa wa Njombe kwa lengo la kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi. Mtaalam kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Hayaha Hyera amesema mfumo ulishafanya kazi katika mkoa wa Shinyanga na kuonekana kufanya kazi vizuri huku kwa sasa ukitambulishwa katika mikoa ya zaidi ya Nane. Mfumo huo unatajwa kuja kutatua changamoto ya magari ya dharula binafsi ambapo kwa mkoa magari ya serikali yapo Kumi na Saba pekee.   Aidha, Kitta amesema mkoa una magari Kumi na Saba ya dharula ambapo wakati mwingine hayatoshi. 

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Juma Mfanga amesema kabla ya kutambulisha mfumo huo watalaamu wamejengewa uwezo wa utekelezaji. Wawezeshaji wa mfumo huo ni pamoja na Vodacom na Pathfinder International.

Katibu Tawala Mkoa wa Njombe Mh.Bi Judica Omary amesema mkoa Mkoa wa NJOMBE una jumla ya vituo vya kutolewa huduma za afya zaidi ya Mia Tatu na Arobaini lakini vinavyotoa huduma ya uzazi ni Mia Tatu na Kumi na Tatu.

Mratibu wa Afya ya Uzazi na huduma za Mama na Mtoto mkoa wa Njombe Felisia  Hyera amesema mwaka 2022 jumla ya watoto Mia Moja Tisini na Mbili wamefariki ambao walipatiwa matibabu katika hospitali za ndani ya halmashauri ya Mji Njombe baada ya kupata rufaa kutoka hospitali za maeneo ya pembezoni mwa mji huo,Vifo vitokanavyo na uzazi imekuwa ni changamoto inayoumiza vichwa vya wataalam wa afya ambapo amesema  Watoto wengi wachanga hupoteza Maisha, Mratibu wa Afya ya uzazi HYERA anasema sababu ya kutokea kwa vifo vya uzazi kwa kina mama ni pamoja na kifafa cha mimba na kupoteza damu nyingi wakati wa kujifungua .

Mikakati inatambulishwa ikihusisha sekta binafsi na serikali ili kujinusuru na changamoto hiyo, kama ambavyo Mfumo wa M-mama unaoratibiwa na Kampuni ya Simu ya VODACOM ukitambulishwa mikoa mbalimbali nchini ukiwemo mkoa wa Njombe.Wahusika wa kikao hicho akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Makete Juma Sweda ameomba utekelezaji wa mfumo uangalie maeneo magumu kufikika utaondoa vifo vya uzazi.


Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • PROF. MUKANDALA AONGOZA VIONGOZI KUSHUHUDIA UTIAJI SAINI WA MKATABA WA UJENZI WA KAMPASI YA UDOM MKOANI NJOMBE.

    May 17, 2025
  • MPANGO WA NJOMBE KUPUNGUZA UDUMAVU WAZINDULIWA RASMI.

    May 17, 2025
  • KAMATI YA USALAMA YA MKOA WA NJOMBE YAMPA POLE KAMISHNA MWANDAMIZI WA UHAMIAJI FELISTA SANGA KUFUATIA MSIBA WA MUMEWE.

    May 17, 2025
  • MKUU WA MKOA WA NJOMBE MHE. ANTHONY MTAKA AKUTANA NA MKURUGENZI WA KAMPUNI YA KANJI LALJI, AMKARIBISHA KUWEKEZA MKOANI NJOMBE KATIKA KILIMO CHA KAHAWA.

    May 17, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.