Posted on: October 15th, 2025
Wakazi wa Mkoa wa Njombe wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali ambazo zinapelekwa na serikali katika maeneo yao ikiwemo miradi mikubwa ya ujenzi inayoendelea ili kuondoa dhana ya uhaba wa ajira.
...
Posted on: October 8th, 2025
Makambako, Oktoba 8, 2025 – Afisa Ustawi wa Jamii wa Mkoa, Bi. Subilaga Mwaigwisa, amepokea makabati matano kutoka Mradi wa Imarisha Afya chini ya Shirika la SUMASESU linalofanya kazi katika Wilaya ya...
Posted on: October 1st, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Anthony Mtaka, ametoa wito kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) kufungua tawi rasmi mkoani humo ili kuongeza ufanisi katika usimamizi na usambazaji wa pembeje...