• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

MWENGE WA UHURU WAWASILI MKOANI NJOMBE

Posted on: April 26th, 2023

Mwenge wa Uhuru Umewasili Mkoani Njombe Ukitokea Mkoani Ruvuma ambapo makabidhianao hayo yamefanyika katika Kijiji cha Ngelenge kata ya masasi Wilayani Ludewa  baina ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe  Mh.Bi. Judica Omari na Steveni Mashauri ambaye ni Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma. Ambapo utakimbizwa katika Wilaya Nne zenye Halmashauri Sita za mkoa wa Njombe huku miradi yenye thamani zaidi ya shillingi billioni tisa nukta tatu ikitarajiwa kukaguliwa kuwekewa mawe ya msingi Pamoja na kuzinduliwa.


 Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe Bi. Judica Omary  akizungumza katika makabidhiano  hayo Ameeleza kuwa Kauli mbinu ya Mwenge wa Uhuru 2023 imezingatia umuhimu wa mabadiliko ya Tabia nchi katika uhifadhi wa mazingira sambamba na utunzaji wa vyanzo vya maji.


Hata hivyo amesema  Mkoa wa Njombe umefanikiwa na kuendeleza mikakati ya utunzaji wa mazingira husasani upandaji wa miti ambapo mkoa huo umevuka lengo la kupanda miti Zaidi ya Milioni Hamsini kuanzia mwaka 2022 hadi kufikia mwaka huu ambapo tofauti ya lengo lililowekwa la kupanda miti milioni tisa kwa mwaka mmoja.


“Mkoa wetu unazaidi ya vyanzo elfu tatu vya maji ambavyo tunaendelea kuvitunza na kuvihifadhi kwa kuendelea kupanda miti ambayo ni rafiki na mazingira” Alisema Judica


Mbio  hizo za Mwenge wa Uhuru zimeanza kwa kukimbizwa katika Wilaya ya Ludewa ambapo umefanikiwa kuweka mawe katika vyumba viwili vya madarasa  ya msingi katika shule ya Msingi Ngelenge,kuzindua vyumba vya kulala wageni,kuzindua klabu ya wapinga Rushwa,kukagua shambala korosho la wananchi,Kufungua Zahanati ya Kimelembe,kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la utawala la Halmashauri,miradi yote yenye thamani ya bilioni mbili milioni mia mbil arobaini na mbili. umekimbizwa katika Kilomita 173 ndani ya Vijiji nane

 

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ludewa amekiri kupokea maelekezo kutoka kwa Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa na kuahidi kuyafanyia kazi maelekezo yote kama yalivyotolewa.


Sambamba na hilo Mkuu wa Wilaya amemshukuru jitihada zinazoendelea kufanya na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwaletea wananchi wa ludewa maendeleo mbalimbali ikiwemo huduma ya Afya katika Zahanati ya Kimelembe ambapo alipiga goti mbele ya wakimbiza mbio za mwenge kitaifa kumshukuru Rais Samia kwa kutoa fedha za ujenzi wa Zahanati hiyo.


Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA SHANGWE.

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA MTAKA AWAPONGEZA NA KUWAPA HAMASA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA MKOANI NJOMBE.

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF AMEANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI NJOMBE.

    April 28, 2025
  • HERI YA SIKU YA MUUNGANO.

    April 26, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.