• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

Msitu uliotunzwa zaidi ya miaka 800 wa NYUMBANITU

Posted on: September 26th, 2022

Wizara ya Mali asili na Utalii kupitia makumbusho ya taifa imetangaza rasmi msitu wa NYUMBANITU uliopo katika kijiji cha Mlevela halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe kuwa miongoni mwa kivutio muhimu cha utalii na utamaduni Tanzania.


Waziri wa Mali asili na Utalii Dkt,Pindi Chana amebainisha hilo wakati wa zoezi la kuweka bango la taarifa katika msitu huo wa asili na mapango ya NYUMBANITU na kuagiza jamii kuendelea kutunza maeneo hayo yenye historia kubwa kutokana na mashujaa wa vita ya Maji Maji kuyatumia kwa ajili ya kujificha wakati wa vita.


“Ni mategemeo yangu kwamba sasa NYUMBANITU inaingia katika orodha ya wizara ya vivutio muhimu vya utalii na utamaduni,ni mategemeo yangu kuwa sasa kituo chetu cha kijiji cha Makumbusho kitashirikiana na wazee wa mila na desturi kuhifadhi na hivyo kutanua wigo wa vivutio vya utalii vilivyopo hapa NYUMBANITU”amesema Pindi Chana


Awali akitoa taarifa kwa niaba ya bodi ya Makumbusho ya Taifa mwenyekiti wa bodi hiyo Dkt,Oswald Masebo amesema hatua hiyo ni utekelezaji wa mpango mkakati wa miaka mitano wa Makumbusho ya Taifa unaoelekeza kutekeleza uhifadhi endelevu wa mali kale.


Ameongeza kuwa mpaka sasa Makumbusho ya Taifa ina vituo 7 vya Makumbusho na maeneo ya mali kale zaidi ya 90 yaliyohifadhiwa nchini huku ikiwa imeshaandaa taarifa ya Awali ya kutambua juhudi za wananchi,taasisi mbali mbali za kuanzisha Makumbusho na kuhifadhi mali kale kwa kuwa zaidi ya Makumbusho 40 zinasimamiwa na jamii,halmashauri,mashirika mbali mbali.


“Zoezi la leo ni kufungua ukurasa mpya wa mpango wa kutambua juhudi za wanajamii wa Wanging’ombe na Njombe za kuhifadhi na kuendeleza mali kale”amesema Masebo


Julius Msigwa ni mzee wa mila na destuli wa msitu huo amesema wamekuwa wakiulinda msitu huo huku wakiutumia kwa shughuli mbalimbali ikiwemo ibada za mila huku wakiiomba serikali kuunga mkono matarajio yao ya ujenzi wa chuo cha sanaa na utamaduni na Makumbusho jirani na mapango ya NYUMBANITU.

Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA SHANGWE.

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA MTAKA AWAPONGEZA NA KUWAPA HAMASA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA MKOANI NJOMBE.

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF AMEANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI NJOMBE.

    April 28, 2025
  • HERI YA SIKU YA MUUNGANO.

    April 26, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.