• Complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MKOA WA NJOMBE

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MKOA WA NJOMBE

  • Home
  • About Us
    • Historical Background
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organization Structure
    • Sections
      • Administration & HR Section
      • Local Government Section
      • Planning & Coordination Section
      • Economic & Production Section
      • Infrastructure Section
      • Education Section
      • Health Section
    • Units
      • Finance & Accounts Unit
      • Internal Audit Unit
      • ICT Unit
      • Procurement & Supply Unit
      • Legal Unit
  • District
    • Njombe District
    • Wanging'ombe District
    • Makete District
    • Ludewa District
  • Councils
    • Njombe TC
    • Njombe DC
    • Wanging'ombe DC
    • Makete DC
    • Ludewa DC
    • Makambako Tc
  • Investment Opportunities
    • Agriculture
      • Crop production
      • Livestock
      • Fisheries
      • Forestry
    • Tourism
    • Mining
  • Services
    • Health Services
    • Education Services
    • ICT Services
    • Infrastructure Services
    • Water Services
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Laws
    • Forms
    • Strategic plan
    • Client Service Charter
  • Media Center

MKUU WA MKOA AFANYA MKUTANO NA MSEMAJI MKUU WA SELIKALI NA VYOMBO VYA HABARI

Posted on: December 21st, 2023

Mh. Antony Mtaka Mkuu wa Mkoa wa Njombe amefanya mkutano na Msemaji Mkuu wa Serikali pamoja na waandishi wa habari kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya sita Mkoani  Njombe amesema,Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh, Dkt. Samia Suluhu Hassan imewasikia wananchi wa Njombe na kuwafikia katika kutatuta kero zao  kwenye  sekta mbalimbali ikiwemo Maji, Barabara, Kilimo, Elimu na Afya.

Kwa upande wa miundombinu ya  barabara na maji, ameishukuru serikali ya awamu ya sita kwakuwa Mkoa wa Njombe ni moja ya Mikoa inayonufaika na mradi mkubwa wa maji ambao utatatua changamoto ya maji kwa wananchi kwa asilimia 95, pamoja na miradi ya barabara ambapo ameishukuru serikali kwa kuboresha mtandao wa barabara na kufanya maeneno mengi ya  Mkoa wa Njombe kufikika kwa kuwa na barabara zenye kiwango cha lami.

Aidha ameipongeza Serikali na maono ya Rais  Mh.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuona Umuhimu wa kulipa fidia ya bilioni 15 kwenye maeneneo ya makaa ya mawe na madini ya chuma Wilayani Ludewa sambamba  na ujenzi wa barabara kubwa ya zege ambayo itafungua kwa kiasi kikubwa uchumi wa Wilaya ya Ludewa na Mkoa wa Njombe kwa Ujumla.

Pia ameipongeza Serikali kwa kutoa mbolea za ruzuku kwa wakulima jambo ambalo litasaidia kuendelea kuinua uchumi wa wananchi Njombe na kusaidia kuchangia kwenye pato la Mkoa na Taifa.

Mh. Mtaka ameeleza namna Serikali ilivyofanya uwekezaji mkubwa kwenye miundombinu jambo ambalo ni ishara ya mageuzi makubwa kwenye Elimu Mkoani Njombe  kwakuwa kila kata Mkoani Njombe ina shule, hivyo kuwezesha Watoto wote wanaofaulu kuweza kuendelea na masomo.

Pia kwenye sekta ya Afya Mh. Mtaka ameishukuru Serikali ya awamu sita kwa namna  ambavyo imesogeza huduma karibu na wananchi na Vifaa, Mdawa, watumishi na vitendea kazi vingine vinavyowezesha huduma kupatikana wakati wowote.

Announcements

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2024MKOA WA NJOMBE January 08, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA May 10, 2023
  • TAARIFA YA UHAMISHO OFISI YA MKUU WA MKOA WA NJOMBE October 14, 2023
  • View All

Latest News

  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA SHANGWE.

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA MTAKA AWAPONGEZA NA KUWAPA HAMASA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA MKOANI NJOMBE.

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA KAMATI YA TAIFA YA UONGOZI YA TASAF AMEANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI NJOMBE.

    April 28, 2025
  • HERI YA SIKU YA MUUNGANO.

    April 26, 2025
  • View All

Video

Music
More Videos

Quick Links

  • Vivutio vya Utalii mkoani Njombe
  • Fursa za kilimo cha matunda aina ya maparachichi
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024/2025
  • Maktaba ya Picha
  • Maktaba ya Video

Related Links

  • Tovuti ya Temesa
  • Tovuti ya Tanroads
  • Tovuti ya Wizara ya Ujenzi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Mtaa wa Lunyanywi

    Postal Address: P.O.Box 668-Njombe

    Telephone: 026 278 291 213

    Mobile:

    Email: ras@njombe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2019 GWF . All rights reserved.