Posted on: October 11th, 2023
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Njombe Mh. Deo Sanga amewaagiza viongozi mkoani Njombe kuhakikisha wanamaliza miradi yote viporo iliyoanzishwa na wananchi.
Agizo hilo alilitoa katika kikao cha majumuisho...
Posted on: October 9th, 2023
Naibu Waziri Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mh. Deogratias Ndejembi,amegiza kufanyika kwa ujenzi usiku na mchana kwenye shule ya sekondari mpya inayojengwa kijiji cha Mbug...